Mkurugenzi wa Masoko na Mawasiliano Shirika la Bima la Taifa (NIC) Karimu Meshack akimkabidhi fedha taslim Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi kutoka Timu ya Malindi Humuoud Suleiman ameibuka mchezaji bora wa mchezo huo uliofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Kati ya Azam na Malindi katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1.
SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA MIFUMO KUDHIBITI MAGONJWA ADIMU
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, imesema itaendelea kuimarisha mifumo ya
huduma za afya kupitia tafiti mbalimbali ili kuhaki...
35 minutes ago
0 Comments