Waziri wa Utalii na Mali Asili Tanzania Mh Mohammed Omar Mchengerwa akishuhudia utiaji saini wa MoU ya ushirikiano baina ya Kamisheni ya Utalii Zanzibar (ZCT) na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) ambapo kwa upande wa ZCT Amesaini Bi Aviwa Issa Makame ambae ni Kaimu Katibu Mtendaji na kwa upande wa TTB amesaini Bw Damasi Mfugale DG TTB. Tukio hilo limefanyika jijini Arusha katika ukumbi wa AICC mara tu baada uzinduzi wa bodi za TANAPA NA TTB.
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
12 hours ago

0 Comments