Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Amiri wa Taifa la Qatar Mhe. Sheikh Tamim Bin Hamad Al-Than wa pili kutoka kushoto kwake pamoja na viongozi wengine wa Mataifa mbalimbali wakati wakimwagilia miti maji kuashiria ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Kilimo cha Mbogamboga na Matunda (Doha International Horticulture Expo 2023) uliofanyika Doha tarehe 02 Oktoba, 2023
Elimu : Mkenda Azindua Bodi Mpya ya TCU, Asisitiza Uimarishaji wa Usimamizi
na Uthibiti Ubora wa Elimu ya Juu
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ameielekeza
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kuendelea kusim...
10 hours ago
.jpg)
0 Comments