Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip
Mpango amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia
Suluhu Hassan katika Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi za
Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) uliofanyika kwa njia ya mtandao. (Tarehe
31 Oktoba 2023 Dodoma)
KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA KASI YA USAMBAZAJI UMEME VITONGOJI 15 KILA JIMBO
-
Na Mwandishi Wetu
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeipongeza Wizara ya
Nishati kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kasi ya utekeleza...
35 minutes ago

0 Comments