Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip
Mpango amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia
Suluhu Hassan katika Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi za
Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) uliofanyika kwa njia ya mtandao. (Tarehe
31 Oktoba 2023 Dodoma)
CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA LINDI MWAMBAO CHAKABIDHI PIKIPIKI KWA AMCOS
KUIMARISHA UTENDAJI
-
Chama Kikuu cha Ushirika Lindi Mwambao kimeendelea kuimarisha utendaji wa
vyama vyake vya msingi (AMCOS) kwa kukabidhi pikipiki 32 kwa ajili ya
kurahisisha...
35 minutes ago

0 Comments