Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip
Mpango akiifariji familia na waombolezaji mbalimbali kufuatia kifo cha Bi.
Doleta Minya kilichotokea tarehe 09 Julai 2024. Makamu wa Rais ametoa pole hizo
wakati alipoitembelea familia ya marehemu akiwa Kijiji Kasumo Wilaya ya Buhigwe
mkoani Kigoma tarehe 11 Julai 2024.
WANYAMAPORI NI UTI WA MGONGO WA SEKTA YETU YA UTALII- MAFURU
-
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV
Tanzania imeungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya
Wanyamapori Duniani, siku maalum inayotambua mchango wa wan...
1 minute ago


0 Comments