Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuwakilisha Mwenyekiti wa asasi ya siasa, ulinzi na usalama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan wakati Rais wa Zimbabwe Emmerson Dambudzo Mnangagwa ambae kwa sasa ni Mwenyekiti wa SADC alipofunga Mkutano wa Viongozi Wakuu na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini Mwa Afrika SADC uliofanyika katika Bunge la Zimbabwe Jijini Harare.
MNZAVA AWASIHI MADIWANI NA WENYEVITI WA VIJIJI KUSHIRIKIANA KUTATUA
MIGOGORO YA ARDHI
-
*Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Mhe. Timontheo Mnzava, amewataka
madiwani na wenyeviti wa vijiji kushirikiana kwa karibu katika kutatua
migogoro...
11 hours ago




0 Comments