Inna lilahi wainna ilayhi raajiuun. Haji Kimara ametangulia mbele ya haki.Allah ampe Qauli thabit na amsameh makosa yake.Haji Aliwahi kuchezea timu ya Small Simba wakati ule wa Moto Small.Na aliwahi kuchezea timu ya Kikwajuni
DKT. MAULID ASISITIZA ITIFAKI NA TABIA NJEMA KWA VIONGOZI WA ELIMU
-
Mkutano Mkuu wa 12 wa Umoja wa Maafisa Elimu wa Mikoa na Halmashauri
Tanzania Bara (REDEOA) umeendelea kufanyika jijini Arusha kwa siku saba
tangu ulipofun...
5 hours ago

0 Comments