Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza
la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino, Mkoani Dodoma leo tarehe 16 Januari,
2025.
TRA YAZINDUA DAWATI MAALUM LA UWEZESHAJI BIASHARA KWA MASUALA YA FORODHA
KWA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO
-
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua dawati maalum la uwezeshaji
biashara za Forodha kwa wafanyabiashara wa Kariakoo pekee ili kuharakisha
upatikanaj...
5 hours ago






0 Comments