Brassband ya Jeshi la Polisi Zanzibar ikiongoza Maandamano ya Majaji wa Mahkama Kuu Zanzibar wakati wa hafla ya Maadhimisho ya Kilele cha Wiki ya Sheria Zanzibar, yaliyofanyika katika viwanja vya Mahkama ya Mkoa Mazizini Wilaya ya Magharibi "B" Unguja Jijini Zanzibarb leo 10-2-2025.
WANAWAKE WWJASIRIAMALI WAKWAMISHWA NA KUKOSEKANA KWA ELIMU YA NeST
-
Na Fatma Jalala
Licha ya Tanzania kuwa na mfumo madhubuti wa kisheria unaolenga kulinda na
kukuza ushiriki wa makundi maalum katika ununuzi wa umma, ushahi...
17 minutes ago
0 Comments