MUONEKANO wa moja ya Boti Tatu za Kusafirisha Wangonjwa “Ambulance Boat” zilizozinduliwa na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika
eneo la Hotel ya Verde Mtoni Wilaya ya
Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 19-2-2025
Kamati ya Bunge ya Miundombinu Yaipongeza TCAA kwa Kuimarisha Usimamizi na
Maendeleo ya Sekta ya Usafiri wa Anga
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), imetembelewa na Kamati ya Bunge
ya Miundombunu na kupongezwa kwa jitihada zake za kuisimamia na kuiendeleza...
1 hour ago



0 Comments