RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasili katika viwanja vya makaburi ya Mwanakwerekwe
Wilaya ya Magharibi “B” Unguja kuhudhuria maziko ya Marehemu Charles Martin
Hilary, aliyekuwa Mkurugenzi Mawasiliano Ikulu Zanzibar na Msemaji Mkuu wa
Serikali yaliyofanyika leo 14-5-2025 na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa
Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa
WAZIRI MCHENGERWA AZIKARIBISHA JUMUIYA ZA KIMATAIFA KUSHIRIKIANA NA
TANZANIA KUBORESHA TIBA ASILI
-
Na John Mapepele, New Delhi.
Waziri wa Afya Mheshimiwa Mohamed Omary Mchengerwa amezikaribisha jumuiya
za kimataifa na wadau mbalimbali wa Sekta ya Afya du...
7 minutes ago











0 Comments