Mtaalamu wa lugha ya Alama Masika Khamis Ali akitoma maelezo kwa Wananchi wa makundi maalumu wakati wa ufungaji wa Mkutano wa Kampeni wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika katika viwanja vya mpira Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja nuliyofanyika leo 26-10-2025, wakati Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kufunga kampeni leo.
SERIKALI YADHAMIRIA KULETA MABADILIKO MAKUBWA KATIKA SEKTA YA KILIMO
KUPUNGUZA UMASKINI:SILINDE.
-
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe David Silinde amesema kuwa Serikali imeweka
dhamira ya kuleta mabadiliko katika sekta ya kilimo ili kupunguza umaskini
na kuon...
21 minutes ago





















0 Comments