Msanii wa Bongo Fleva Nandy akiburudisha kwa wimbo wake wa kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kwa uongozi wake imara kuiongoza Zanzibar kwa kipindi cha miaka mitano, akiwa Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakati wa mkutano wa kufunga Kampeni za CCM uliyofanyika katika Uwanja wa Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar leo 26-10-2025.
DC KASILDA AWATAKA WAHANDISI KUTOKA MAOFISINI
-
NA WILLIUM PAUL, SAME.
MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni amewataka
wahandisi wa Halmashauri kuacha tabia ya kukaa ofisini na bada...
1 hour ago






0 Comments