Msanii wa Bongo Fleva Nandy akiburudisha kwa wimbo wake wa kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kwa uongozi wake imara kuiongoza Zanzibar kwa kipindi cha miaka mitano, akiwa Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakati wa mkutano wa kufunga Kampeni za CCM uliyofanyika katika Uwanja wa Mnazi Mmoja Jijini Zanzibar leo 26-10-2025.
UBORESHAJI WA HUDUMA ZA WATEJA: MBUNGE BAGAMOYO AKABIDHI MAGARI KWA TANESCO
-
Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, Mhe. Subira Mgalu leo Machi 03, 2026
amekabidhi magari mapya kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Wilaya ya
Bagamoyo mko...
49 minutes ago






0 Comments