Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, akipata maelezo kutoka kwa Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma Dkt. Ibenzi Ernest (kulia kwake) alipotembelea Hospitali ya Rufaa Mkoa Dodoma Novemba 25, 2025. Kushito kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule na kulia ni Mkuu wa Wilaya Dodoma Alhaji Jabir Shekimweri. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
TSL yazindua mpango wa ubunifu wa pamoja kupanua fursa za uwekezaji
-
Kampuni ya Tanzania Securities Limited (TSL) imepiga hatua nyingine kubwa
leo kwa kuzindua mipango miwili ya uwekezaji wa pamoja na ya kibunifu:
Mfuko wa I...
12 minutes ago
0 Comments