Katibu
Mkuu Kiongozi, Mhe. Balozi Dkt. Moses Kusiluka akizungumza wakati wa ufunguzi
wa Kikao Kazi cha Kitaifa cha Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais na Maafisa
Habari wa Serikali kilichofanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Bw. Bakari Machumu
akizungumza wakati wa ufunguzi wa Kikao Kazi cha Kitaifa cha Kurugenzi ya
Mawasiliano ya Rais na Maafisa Habari wa Serikali kilichofanyika jijini Dar es
Salaam.

Mshauri wa Rais wa Masuala ya Habari na Mawasiliano, Bw.
Tido Mhando akifuatilia uwasilishwaji wa mada katika Kikao Kazi cha Kitaifa cha
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais na Maafisa Habari wa Serikali kilichofanyika
jijini Dar es Salaam
Baadhi ya Maafisa Habari wa Serikali walioshiriki
Kikao Kazi cha Kitaifa cha Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais na Maafisa Habari
wa Serikali kilichofanyika jijini Dar es Salaam
.jpeg)



0 Comments