Mchezaji wa Timu ya Kikapu ya Mpendae akiwa na mpira akijiandaa kumpita mchezaji wa Timu ya Millenium wakati wa mchezo wao wa Ligi ya Kanda ya Unguja mchezo uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya Mpendae iumeshinda mchezo huo kwa Vikapu 60-48.
JAFO ARIDHISHWA NA UJENZI WA MABWENI NA MADARASA SHULE YA SEKONDARI DK.
SELEMANI JAFO
-
*MBUNGE wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akikagua ujenzi wa
mabweni mawili na madarasa katika Shule ya Sekondari Dkt.Selemani
Jafo,wakati wa...
4 hours ago










0 Comments