Mchezaji wa Timu ya Kikapu ya Mpendae akiwa na mpira akijiandaa kumpita mchezaji wa Timu ya Millenium wakati wa mchezo wao wa Ligi ya Kanda ya Unguja mchezo uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya Mpendae iumeshinda mchezo huo kwa Vikapu 60-48.
SAFARI YA KUZAA NA KUHAMA KWA NYUMBU YATUA FITUR HISPANIA
-
Na Mwandishi wetu.
Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia taasisi zake inaendelea kunadi
vivutio vya utalii vilivyopo Tanzania katika maonesho ya FITUR
y...
21 minutes ago










0 Comments