Kocha wa Timu New King akitowa maelekezo kwa wachazaji wake katika pindi cha kwanza cha mchezo huo wa Ligi Kuu ya PBZ 2025/2026 Zanzibar, wakati wa mchezo wao na Timu ya Zimamoto mchezo uliyofanyika katika uwanja wa Mao Zedong Timu ya Zimamoto imeshinda mchezo huo kwa bao 2-0.
KUJENGA UTAALAMU: TAEC YAWAFUNDISHA WATAALAMU 50 KUHUSU USALAMA WA MIONZI
KATIKA SEKTA YA AFYA
-
Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) imefanikisha kuendesha mafunzo ya
kitaifa ya siku nne kuhusu usalama wa mionzi ya mashine za X-Ray na vyanzo
vingin...
3 hours ago
















0 Comments