Kocha wa Timu New King akitowa maelekezo kwa wachazaji wake katika pindi cha kwanza cha mchezo huo wa Ligi Kuu ya PBZ 2025/2026 Zanzibar, wakati wa mchezo wao na Timu ya Zimamoto mchezo uliyofanyika katika uwanja wa Mao Zedong Timu ya Zimamoto imeshinda mchezo huo kwa bao 2-0.
SERIKALI ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA VIONGOZI WA DINI-DKT. MWIGULU
-
-Asema lengo ni kujenga Taifa lenye hofu ya Mungu, upendo, haki na
uwajibikaji
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 18, 2026 ameshiriki Ibada...
7 hours ago
















0 Comments