Mshambuliaji wa Timu ya Polisi akiwapita mabeki wa Timu ya Junguni katika mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ 2025/2026 mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong.Katima mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana.
SIKU 3 ZA MKOA WA DODOMA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI NA KUTOA TAARIFA SIKU
100 ZA DKT SAMIA.
-
Mkuu wa Mkoa Dodoma Mhe Rosemary Senyalume ametoa wito kwa Wananchi wote wa
Mkoa Dodoma kujitokeza kutumia fursa ya kutoa kero zao na kupata utatuzi
kati...
5 hours ago






0 Comments