Mshambuliaji wa Timu ya Polisi akiwapita mabeki wa Timu ya Junguni katika mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ 2025/2026 mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong.Katima mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana.
TUTAWADHIBITI WATAKAOSHIRIKI MAANDAMANO HARAMU- SIMBACHAWENE
-
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Mambo ya ndani, George Boniface Simbachawene amesisitiza kuwa
maandamano yanayohamasishwa kufanyika kesho Jumanne Disemba 09, 2...
1 hour ago






0 Comments