Mshambuliaji wa Timu ya Polisi akiwapita mabeki wa Timu ya Junguni katika mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ 2025/2026 mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong.Katima mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana.
SERIKALI ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA VIONGOZI WA DINI-DKT. MWIGULU
-
-Asema lengo ni kujenga Taifa lenye hofu ya Mungu, upendo, haki na
uwajibikaji
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 18, 2026 ameshiriki Ibada...
7 hours ago






0 Comments