Mchezaji wa Timu ya Zenj Bulls akimpita mchezaji wa Timu ya Stone Town wakati wa mchezo wao wa Ligi Kanda ya Unguja uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar. katika mchezo huo Timu ya Stone Town imeshinda kwa vikapu 93-38. mchezo huo uliyofanyika leo 6-12-2025.
SIKU 3 ZA MKOA WA DODOMA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI NA KUTOA TAARIFA SIKU
100 ZA DKT SAMIA.
-
Mkuu wa Mkoa Dodoma Mhe Rosemary Senyalume ametoa wito kwa Wananchi wote wa
Mkoa Dodoma kujitokeza kutumia fursa ya kutoa kero zao na kupata utatuzi
kati...
6 hours ago
























0 Comments