6/recent/ticker-posts

Mchezo wa Mpira wa Kikapu Ligi Kanda ya Unguja Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong Kati ya Timu ya Stone Town na Zenj Bulls.Timu ya Stone Town Imeshinda Mchezo Huo kwa Vikapu.93-38

Mchezaji wa Timu ya Zenj Bulls akimpita mchezaji wa Timu ya Stone Town  wakati wa mchezo wao wa Ligi Kanda ya Unguja uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar. katika mchezo huo Timu ya Stone Town imeshinda kwa vikapu 93-38. mchezo huo uliyofanyika leo 6-12-2025. 























Post a Comment

0 Comments