Mchezaji wa Timu ya Muembemakumbi City na Malindi wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ 2025/2026 Zanzibar , mchezo uliyofanyika katika uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar, katika mchezo huo Timu ya Muembemakumbi City imeshinda mchezo huo kwa bao 2-0.
SERIKALI ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA VIONGOZI WA DINI-DKT. MWIGULU
-
-Asema lengo ni kujenga Taifa lenye hofu ya Mungu, upendo, haki na
uwajibikaji
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 18, 2026 ameshiriki Ibada...
7 hours ago












0 Comments