Mchezaji wa Timu ya Muembemakumbi City na Malindi wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ 2025/2026 Zanzibar , mchezo uliyofanyika katika uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar, katika mchezo huo Timu ya Muembemakumbi City imeshinda mchezo huo kwa bao 2-0.
TANZANIA YAUNGA MKONO UENDELEVU WA BONDE LA NILE
-
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imethibitisha kuendelea
kulisaidia Bonde la Mto Nile, ikisisitiza kuwa Tanzania inatambua thamani
kubwa ya ra...
9 hours ago












0 Comments