Mchezaji wa Timu ya Muembemakumbi City na Malindi wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ 2025/2026 Zanzibar , mchezo uliyofanyika katika uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar, katika mchezo huo Timu ya Muembemakumbi City imeshinda mchezo huo kwa bao 2-0.
SIKU 3 ZA MKOA WA DODOMA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI NA KUTOA TAARIFA SIKU
100 ZA DKT SAMIA.
-
Mkuu wa Mkoa Dodoma Mhe Rosemary Senyalume ametoa wito kwa Wananchi wote wa
Mkoa Dodoma kujitokeza kutumia fursa ya kutoa kero zao na kupata utatuzi
kati...
7 hours ago












0 Comments