6/recent/ticker-posts

Timu ya Mlandege Imeshinda Mchezo wake wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar 2025/2026 Bao 1-0 Dhidi ya Timu ya KVZ Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong

Kocha Mkuu wa Timu ya KVZ  Malale Hamsini  akifuatilia na kutowa maelekezo kwa timu yake wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar 2025/2026 na Timu ya Mlandege, mchezo uliyofanyika katika uwanja wa Mao Zedong, katika mchezo huo Timu ya Mlandege imeshinda kwa bao 1-0.
Mchezaji wa Timu ya KVZ akijaribu kumpita beki wa Timu ya Mlandege wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar 2025/2026 mchezo uliyofanyika katika Uwanja Mao Zedong.katika mchezo huo Timu ya Mlandege imeshinda kwa bao 1-0. 





 

Post a Comment

0 Comments