Beki wa Timu ya Uhamiaji akijaribu kumzuiya mchezaji wa Timu ya New City wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar 2025/2026, mchezo uliyofanyika katika uwanja wa Mao Zedong.Timu ya Uhamiaji imeshinda mchezo huo kwa bao 5-0
TCB YAZINDUA KAMPENI YA MSIMU WA SIKUKUU, YATOA REJESHO LA 10% KWA WATEJA
WA POPOTE VISA
-
Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imezindua Kampeni Kabambe ya Msimu wa
Sikukuu yenye lengo la kuwazawadia wateja wanaotumia kadi ya Popote Visa
kufanya m...
7 minutes ago







0 Comments