Wachezaji wa Timu ya JKU na Mafunzo wakiwania mpira katika mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ 2026, mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya Mafunzo imeshinda mcheo huo kwa bao 2-1.
TRA YAZINDUA DAWATI MAALUM LA UWEZESHAJI BIASHARA KWA MASUALA YA FORODHA
KWA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO
-
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua dawati maalum la uwezeshaji
biashara za Forodha kwa wafanyabiashara wa Kariakoo pekee ili kuharakisha
upatikanaj...
11 hours ago








0 Comments