Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalumu za SMZ Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni moja ya Mchezaji Bora wa NMB Mapinduzi Cup 2026 Duke Abuya , iliyotolewa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika mchezo wa Kombe la NMB Mapinduzi Cup 2026, dhidi ya Timu ya Yanga na TRA ,mchezo uliyofanyika katika uwaja wa New Amaan Complex Zanzibar.
NAIBU WAZIRI WANU AAGIZA CHUO MZENGA KUTOA MAFUNZO YANAYOENDANA NA UCHUMI
WA ENEO
-
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Wanu Hafidh Ameir,
ameutaka uongozi wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Mzenga, kilichopo Kata
ya Mzenga, ...
1 hour ago



0 Comments