Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalumu za SMZ Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni moja ya Mchezaji Bora wa NMB Mapinduzi Cup 2026 Duke Abuya , iliyotolewa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika mchezo wa Kombe la NMB Mapinduzi Cup 2026, dhidi ya Timu ya Yanga na TRA ,mchezo uliyofanyika katika uwaja wa New Amaan Complex Zanzibar.
DKT. CHAYA: UWEKEZAJI WA VIWANDA NI NGUZO YA AJIRA, MASOKO YA WAKULIMA NA
UCHUMI WA TAIFA
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Jambo Group of Companies, Mhe. Salum Khamis akieleza
hatua za uzalishaji pamoja na uwekezaji uliofanyika kiwandani.
Mkurugenzi wa K...
36 minutes ago



0 Comments