Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalumu za SMZ Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa akiwasili katika eneo la Kituo cha Mabasi Malindi kwa ajili ya kuweka Jiwe la Msingi la Mradi wa ZSSF Zanzibar wa kituo hicho cha kisasa na (kushoto kwake) Mkurugenzi Muendesjaji ZSSF Nassor Shaban Ameir na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Mohammed Abdallah.
HWPL Yakuza Uelewa wa Kidini Kupitia Vikao vya Awali vya IRPA Tanzania
-
**Mapitio ya Umuhimu wa Kiutendaji kwa Kuzingatia Maoni ya Jamii za Ndani*
HWPL ilifanya vikao vya maelezo kuhusu IRPA (vikao vya awali vya RPA)
kuanzia ...
1 day ago





















0 Comments