Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalumu za SMZ Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa akiwasili katika eneo la Kituo cha Mabasi Malindi kwa ajili ya kuweka Jiwe la Msingi la Mradi wa ZSSF Zanzibar wa kituo hicho cha kisasa na (kushoto kwake) Mkurugenzi Muendesjaji ZSSF Nassor Shaban Ameir na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Mohammed Abdallah.
NAIBU WAZIRI WANU AAGIZA CHUO MZENGA KUTOA MAFUNZO YANAYOENDANA NA UCHUMI
WA ENEO
-
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Wanu Hafidh Ameir,
ameutaka uongozi wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Mzenga, kilichopo Kata
ya Mzenga, ...
1 hour ago





















0 Comments