Kama una kumbukumbu yoyote na wauzaji wa aina hii tukumbushe basi mdau
Mbunge Ummy Mwalimu alivyoleta tabasamu kwa bodaboda Tanga kupitia leseni
za udereva
-
Na: Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga
Usalama wa maisha ya binadamu ni jambo la msingi sana, na ndiyo maana
unapaswa kulindwa kwa gharama zote. Katika suala la...
9 hours ago
Hii safi sana.
ReplyDeleteInanikumbusha siku hizo nasimama kwenye mivinje upande wa pili na kwenda kununua samaki fresh kwa jamaa hao. Lakini nasikia siku hizi mkule kama huyo hapo bei yake utakimbia. Sasa nani wanaonunua samaki kama samaki ni ghali sana? Na jee ile biashara ya hao jamaa kufukuzana na jamaa wa baraza la mji haipo tena?
Mdau
USA