Habari za Punde

DK. SHEIN ZIARANI NCHINI UTURUKI

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein  akiagana na  Viongozi wa Serikali Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, akielekea Nchini Uturuki. 
 RAIS wa Zanzibarna Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein  akizungumza na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff  Hamadi, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar  Balozi Seif Ali Iddi na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdalla Mwinyi Khamis, akiwa uwanja wa  ndege kabla ya kuanza ziara yake Nchini Uturuki.    
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Makamanda wa Vikosi vya  Ulinzi na Usalama  Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Zanzibar kabla ya kuanza safari yake Nchini Uturuki.  
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein  akisalimiana na Mawaziri waliofika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed  Shein na Makamu wa Kwanza Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad , wakitoka chumba cha mapumziko Uwanja  wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume  kwa kujiandaa kupanda ndege  kuelekea Nchi Uturuki kwa Ziara ya Kiserikali. 
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akisalimiana na Wananchi waliofika Uwanja wa Ndege kumuaga akielekea Nchi Uturuki kwa Ziara.  

WANANCHI wakimpungia mkono Rais wa Zanzibar alipokuwa akiondoka kuelekea Nchini Uturuki

1 comment:

  1. inapendeza sana kuona hali kama hii watu wote wapo kitu kimoja mungu aijaalie kila kheri zanzibar na azidi kuyeyusha kabisa tofauti zetu ile tufike mbali kwa mafanikio ya nchi yetu pamoja vizazi vijavyo .

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.