MAFUNDI wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) wakitandika waya wa simu katika mitaa ya mji mkongwe Zanzibar ili kuboresha huduma ya mawasiliano katika Visiwa vya Zanzibar.
MATUKIO KATIKA PICHA NYUMBANI KWA MAREHEMU
-
Baadhi ya Viongozi kutoka taasisi mbalimbali pamoja na waliowahi kushinda
taji la Miss Tanzania kwa nyakati tofauti na waombolezaji wakiwa wamewasili ...
6 hours ago
Shirika gani ? kwani kuna mashirika mengi hapa nchini siku hizi ...
ReplyDelete