MAFUNDI wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) wakitandika waya wa simu katika mitaa ya mji mkongwe Zanzibar ili kuboresha huduma ya mawasiliano katika Visiwa vya Zanzibar.
DKT. MAPONGA:NCHI ZA AFRIKA ZISHIKAMANE KUTIMIZA NDOTO
-
Na Mwandishi Wetu
MWANAHARAKATI anayechochea umoja na mshikamano katika bara la Afrika, Dkt.
Joshua Maponga amewaasa Waafrika kuendelea kushikamana kwa pa...
3 hours ago
1 Comments
Shirika gani ? kwani kuna mashirika mengi hapa nchini siku hizi ...
ReplyDelete