UTALII ukiongezeka kwa kasi katika Visiwa vya Zanzibar kama wanavyoonekana wakiwasili katika bandari ya Zanzibar wakitokea Dar - es - Salaam wakifanya taratibu za kuingia Zanzibar kupitia Idara ya Uhamiaji ya Zanzibar.
WAZIRI MAVUNDE AZINDUA SACCOS YA CHAMA CHA MADEREVA BODA BODA NA BAJAJI
MKOANI DODOMA
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
WAZIRI wa Madini, ambaye pia ni Mbunge wa Dodoma Mjini Anthony Mavunde
amezindua Saccos ya Chama cha Madereva Bodaboda...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment