Habari za Punde

MALINDI YARUDI LIGI KUU KWA KISHINDO

Waliokuwa mabingwa wa soka wa Tanzania timu ya  Malindi imerejeshwa Ligi Kuu ya Zanzibar baada ya Chama cha soka cha Zanzibar (ZFA)  kukubali dai lao  kutokana na kesi iliyofunguliwa Mahakamani na Malindi.

Habari ambazo tumezipata ZFA ni kwamba kesho watatangaza maamuzi hayo huku klabu ya Miembeni United ikitolewa kafara ili kuipisha Malindi.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.