Mdau unaufahamu mchezo huu, wa kuruka vyumba wa hadi mfundo ulikuwa ukichezwa na watoto wa umri huu miaka ya nyuma, kama alivyokutwa mtoto huyu akinukumbusha enzi zetu, tafauti na sasa watoto huacha michezo ya maana na kujihusisha na mabalaya ya kuiga na kuacha mila na desturi zetu. kazi kwako.
MSAFARA WA BAISKELI WA TWENDE BUTIAMA 2025 WAANZA RASMI KUTOKA DAR ES SALAAM
-
Dar es Salaam, Julai 2, 2025
Msafara wa baiskeli wa Twende Butiama mwaka 2025 umeanza rasmi leo jijini
Dar es Salaam, ukiwa na waendesha baiskeli zaidi ya ...
17 minutes ago
No comments:
Post a Comment