Mdau unaufahamu mchezo huu, wa kuruka vyumba wa hadi mfundo ulikuwa ukichezwa na watoto wa umri huu miaka ya nyuma, kama alivyokutwa mtoto huyu akinukumbusha enzi zetu, tafauti na sasa watoto huacha michezo ya maana na kujihusisha na mabalaya ya kuiga na kuacha mila na desturi zetu. kazi kwako.
Mwanamitandao na Shabiki Maarufu wa Man City Brydon Bent Kuja Tanzania
-
*#UnforgetableTanzania na *#DestinationTanzania
MWANAMITANDAO na shabiki maarufu wa klabu ya Manchester City, Brydon Bent,
anatarajiwa kuwasili Tanzania ka...
8 minutes ago
0 Comments