Mdau unaufahamu mchezo huu, wa kuruka vyumba wa hadi mfundo ulikuwa ukichezwa na watoto wa umri huu miaka ya nyuma, kama alivyokutwa mtoto huyu akinukumbusha enzi zetu, tafauti na sasa watoto huacha michezo ya maana na kujihusisha na mabalaya ya kuiga na kuacha mila na desturi zetu. kazi kwako.
WAAZIMIA KUWABURUZA MAHAKAMANI WAHUJUMU MIUNDOMBINU YA UMEME TANDAHIMBA
-
-Wananchi watahadharishwa kuepuka vishoka
WENYEVITI wa Serikali za vijiji na vitongoji Wilaya ya Tandahimba Mkoa wa
Mtwara wamesema hawatakuwa na huruma kw...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment