Mdau unaufahamu mchezo huu, wa kuruka vyumba wa hadi mfundo ulikuwa ukichezwa na watoto wa umri huu miaka ya nyuma, kama alivyokutwa mtoto huyu akinukumbusha enzi zetu, tafauti na sasa watoto huacha michezo ya maana na kujihusisha na mabalaya ya kuiga na kuacha mila na desturi zetu. kazi kwako.
MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI UWEKAJI JIWE LA MSINGI LA UKARABATI MKUBWA WA RELI
YA TAZARA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi amesema ukarabati wa reli ya TAZARA utaimarisha Ukanda wa Kati na
Kusi...
11 hours ago

No comments:
Post a Comment