Habari za Punde

MKUTANO WA KUCHANGIA MAPENDEKEZO YA KATIBA MPYA YA TANZANIA UKUMBI WA ZAMANI WA BARAZA LA WAWAKILISHI KIKWAJUNI.

Waziri wa Katiba na Sheria Zanzibar. Abubakar Khamis Bakar, akiwasilisha rasimu mpya Katiba ya Tanzania kwa Wananchi katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani Kikwajuni. 
Wananchi waliohudhuria Mkutano wa kuchangia  mabadiliko ya Katiba ya Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania wakimsikiliza, Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibar Abubakari Khamis Bakari, akisoma mapendekezo ya mabadiliko ya Katiba.





Mwanchi akichangia Katiba Mpya









No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.