Mdau wangu akiwa katika jiwe akijiendeleza na biashara ya matunda katika mitaa ya Rahaleo, inabidi vijana tujitume katika biashara ili tujikombeo kimapato na kiuchumi.
KWA SASA NYAMA CHOMA NI VINGUNGUTI KWA KUMBILAMOTO TU…NJOO TUINJOI MTU WANGU
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
Ni mwendo wa nyamachoma tu! Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea yanayoendelea
katika soko la nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vi...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment