Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi Mdogo wa Msumbiji aliyepo Zanzibar Bernado Contantino Lidimba,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kumuaga Rais.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi Mdogo wa Msumbiji aliyepo Zanzibar Bernado Contantino Lidimba,alipofika Ikulu
Mjii Zanzibar kumuaga Rais.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Benki ya Stanbic yatoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia Kampeni ya Masta
wa Miamala
-
Benki ya Stanbic Tanzania imetoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia kampeni
inayoendelea ya Masta wa Miamala.
Akizungumza kwenye hafla hiyo iliyoambatana ...
15 hours ago
0 Comments