Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi Mdogo wa Msumbiji aliyepo Zanzibar Bernado Contantino Lidimba,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kumuaga Rais.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi Mdogo wa Msumbiji aliyepo Zanzibar Bernado Contantino Lidimba,alipofika Ikulu
Mjii Zanzibar kumuaga Rais.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
RAS ARUSHA AWEKA MKAZO KUIMARISHA UTALII NA KUONDOA URASIMU KWA WAWEKEZAJI
-
Na Pamela Mollel,Arusha
Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha, Dk. Toba Alnason Nguvila, ameweka mkazo
katika kuimarisha sekta ya utalii mkoani humo kwa kuwat...
10 hours ago
0 Comments