Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi Mdogo wa Msumbiji aliyepo Zanzibar Bernado Contantino Lidimba,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kumuaga Rais.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi Mdogo wa Msumbiji aliyepo Zanzibar Bernado Contantino Lidimba,alipofika Ikulu
Mjii Zanzibar kumuaga Rais.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
DK.SAMIA:WANANCHI WALIOPISHA UPANUZI UWANJA WA NDEGE KIGOMA WATALIPWA FIDIA
ZAO
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Kigoma
MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) katika Uchaguzi Mkuu mwaka
huu Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema fidia ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment