WANANCHI wakiwa nje ya mlango kuu wa kuingia hospitali Kuu ya Mnazi mmoja, wakisubiri kupata ruhusa ya kuingia ndani ya jengo hilo kuonana na Madaktari, utaratibu huu umekuwa usumbufu kwa wagonjwa wanaofika katika hospitali hiyo, kupata huduma muhumu, kutokana na usumbufu wanaopata kutoka kwa walinzi wa hospitali hiyo
Waziri Mkuun wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa
Amefungua Mkutano wa 13 wa Chama cha Watunza Kumbukumbu (TRAMPA)
-
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akikabidhiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora George Simbachawene mfano
wa f...
2 minutes ago
hii ni dhuluma mojawapo miongoni mwa dhuluma , mogjnwa anatakiwa apokewe kwa upole na huruma , sio kuwapanga foleni nje wamesimama , jee wakianguka na kufa hapo kosa la nani?
ReplyDeleteAh hiyo ndo Zanzibar mpaka mlinzi wa mlangoni nae umsujudie na hapo pengine utoe kitukidogo ndo upitishwe
ReplyDeleteNdo maendeleo hayo?,
ReplyDeleteHaya ni matokeo ya watu kukataa kuchangia huduma mbali mbali kwa kisingizio kua Karume alisema itakua bure!
ReplyDeleteNa bado, tutapanga foleni sana, kwasasa tushukuru Mungu kua baadhi ya maradhi sugu kama vile kansa na mengineo tunakimbilia MUHIMBILI na OCEAN ROAD pamoja na kua afya si suala la muungano, wakati wa utawala wa UWAMSHO sijui itakuwaje?