WANANCHI wakiwa nje ya mlango kuu wa kuingia hospitali Kuu ya Mnazi mmoja, wakisubiri kupata ruhusa ya kuingia ndani ya jengo hilo kuonana na Madaktari, utaratibu huu umekuwa usumbufu kwa wagonjwa wanaofika katika hospitali hiyo, kupata huduma muhumu, kutokana na usumbufu wanaopata kutoka kwa walinzi wa hospitali hiyo
BI.ERICA YEGELLA ATOA MAFANIKIO YA SIKU 100 YA ZA AWAMU YA SITA.
-
Mkurungenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mbeya Bi. Erica Yegella amekutana
na waandishi wa Habari jijini Mbeya kutoa taarifa ya mafanikio ya serikali
ya a...
35 minutes ago
4 Comments
hii ni dhuluma mojawapo miongoni mwa dhuluma , mogjnwa anatakiwa apokewe kwa upole na huruma , sio kuwapanga foleni nje wamesimama , jee wakianguka na kufa hapo kosa la nani?
ReplyDeleteAh hiyo ndo Zanzibar mpaka mlinzi wa mlangoni nae umsujudie na hapo pengine utoe kitukidogo ndo upitishwe
ReplyDeleteNdo maendeleo hayo?,
ReplyDeleteHaya ni matokeo ya watu kukataa kuchangia huduma mbali mbali kwa kisingizio kua Karume alisema itakua bure!
ReplyDeleteNa bado, tutapanga foleni sana, kwasasa tushukuru Mungu kua baadhi ya maradhi sugu kama vile kansa na mengineo tunakimbilia MUHIMBILI na OCEAN ROAD pamoja na kua afya si suala la muungano, wakati wa utawala wa UWAMSHO sijui itakuwaje?