Habari za Punde

Rais Kikwete amjuulia hali Dk Salmin

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt Salmin Amour alipomtembelea kumjulia hali nyumbani kwake Zanzibar Jumatatu Januari 13, 2014 baada ya kuhudhuria sherehe za miaka 50 ya Mapinduzi.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana  na Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt Salmin Amour alipomtembelea kumjulia hali nyumbani kwake Zanzibar Jumatatu Januari 13, 2014 baada ya kuhudhuria sherehe za miaka 50 ya Mapinduzi.

PICHA NA IKULU

1 comment:

  1. Duu huyu mzee (Salmini) ni dhahiri hali yake kiafya sio sawa kama alivyokuwa. Nina wasiwasi na dua za wanyonge wa kizanzibari ambali chini ya utawala wake wa kidhalimu na kiburi kingi, ufedhuli, dharau ya kupita kiasi kwa raia zake mwenyewe ndio matokeo ya hali hii. Hakika MOla ni mwenye kuona na kusikia maombi ya waja wake wenye kudhulumiwa.
    Tanbihi kwa Rais Kikwete: Tafadhali chukua mazingatio kutoka kwa huyo mzee Salmini, ili yasije yakakufika kama ya kwake.

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.