Mjengo wa Hoteli ya Kitalii unaotarajiwa kuwekezwa katika Visiwa vya Karafuu Zenj na Wawakezaji ili kuzidi kuipamba Zenj katika medali ya Kitalii na kuwa kivutio kwa Wageni wanaotembelea Zanzibar na Vitingiji vyake. Hoteli hii itakapomalizika ujenzi wake itakuwa ni moja ya kivutio kwa wageni ili kufika Zanzibar kujionea mambo ya historia ya Zanzibar.
"Fanyeni tafiti za kina kuhakikisha Watanzania wanapata maji" Waziri Aweso
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
SERIKALI imetoa vifaa vya kisasa vya utafiti wa maji chini ya ardhi,huku
ikitoa maagizo kwa mamlaka za maji kuhakikish...
32 minutes ago
No comments:
Post a Comment