Mjengo wa Hoteli ya Kitalii unaotarajiwa kuwekezwa katika Visiwa vya Karafuu Zenj na Wawakezaji ili kuzidi kuipamba Zenj katika medali ya Kitalii na kuwa kivutio kwa Wageni wanaotembelea Zanzibar na Vitingiji vyake. Hoteli hii itakapomalizika ujenzi wake itakuwa ni moja ya kivutio kwa wageni ili kufika Zanzibar kujionea mambo ya historia ya Zanzibar.
KITUO CHA UMAHILI MLOGANZILA KUIMARISHA HUDUMA ZA MOYO, KINYWA NA MENO
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
UJENZI wa kitengo cha kutoa huduma za kinywa na meno katika Chuo Kikuu cha
Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Kamp...
7 hours ago
0 Comments