Mjengo wa Hoteli ya Kitalii unaotarajiwa kuwekezwa katika Visiwa vya Karafuu Zenj na Wawakezaji ili kuzidi kuipamba Zenj katika medali ya Kitalii na kuwa kivutio kwa Wageni wanaotembelea Zanzibar na Vitingiji vyake. Hoteli hii itakapomalizika ujenzi wake itakuwa ni moja ya kivutio kwa wageni ili kufika Zanzibar kujionea mambo ya historia ya Zanzibar.
MVUA ZAADHIRI MAKAZI YA WANANCHI HOLILI.
-
WANANCHI wa Kitongoji cha Shuleni, Kijiji cha Holili Vijijini wilayani
Rombo mkoani Kilimanjaro, wamelalamikia athari za maji ya mvua
yaliyoelekezwa kwen...
47 minutes ago
0 Comments