Mjengo wa Hoteli ya Kitalii unaotarajiwa kuwekezwa katika Visiwa vya Karafuu Zenj na Wawakezaji ili kuzidi kuipamba Zenj katika medali ya Kitalii na kuwa kivutio kwa Wageni wanaotembelea Zanzibar na Vitingiji vyake. Hoteli hii itakapomalizika ujenzi wake itakuwa ni moja ya kivutio kwa wageni ili kufika Zanzibar kujionea mambo ya historia ya Zanzibar.
MAAFISA MAENDELEO IBUENI FURSA KWA JAMII-FELISTER
-
Na Witness Masalu- Iringa
NAIBU Katibu Mkuu wa Maendeleo ya Jamii Felister Mdemu ametoa amewahimiza
maafisa Maendeleo ya Jamii nchini kuubua fursa za ma...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment