Mjengo wa Hoteli ya Kitalii unaotarajiwa kuwekezwa katika Visiwa vya Karafuu Zenj na Wawakezaji ili kuzidi kuipamba Zenj katika medali ya Kitalii na kuwa kivutio kwa Wageni wanaotembelea Zanzibar na Vitingiji vyake. Hoteli hii itakapomalizika ujenzi wake itakuwa ni moja ya kivutio kwa wageni ili kufika Zanzibar kujionea mambo ya historia ya Zanzibar.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment