Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif
Hamad, akiulizia bei ya samaki, akiwa katika ziara yake ya kutembelea masoko ya
manispaa ya Zanzibar.
Mfanyabiashara wa muhogo na majimbi, akitoa bei
ya bidhaa hizo wakati Maalim Seif alipofanya ziara ya kutembelea soko la
Mwanakwerekwe, katika soko hilo bei ya majimbo kwa fungu shilingi 2000/= na 5000/=
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar
Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiangalia biashara ya mitumba katika kituo cha
biashara Saateni, akiwa katika ziara yake ya kutembelea masoko ya manispaa ya
Zanzibar.
Mfanyabiashara wa soko la matunda
Mombasa, akimkabidhi boga Maalim Seif kwa ajili ya futari, wakati alipotembelea
soko hilo.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif
Hamad, akiulizia bei ya samaki na pweza katika soko la darajani, akiwa katika
ziara yake ya kutembelea masoko ya manispaa ya Zanzibar.(Picha na Salmin Said OMKR)
No comments:
Post a Comment