6/recent/ticker-posts

Waziri Mkuu amjuulia hali Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk.Salmin Amour





Waziri Mkuu Mizengo Pinda alipomtembelea Rais mstaafu wa Zanzibar , Salmin Amour Juma  (Komandoo) nyumnbani kwake Migombani Zanzibar kumjuulia hali baada ya kurudi kutoka matibabu nchini China karibuni. 

Waziri Mkuu alikuwepo Zanzibar kwa shughuli zqa kikazi . Picha na Chris mfinanga 

Post a Comment

0 Comments