Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitimiza wajibu wake wa kupiga kura kwa ajili ya kuchagua Rais, Mbunge, Mwakilishi, na Diwani kwenye kituo cha kupigia kura namba 7 katika Shule ya Sekondari ya Kiembesamaki Zanzibar, kwenye Uchaguzi Mkuu wa Tanzania unaofanyika leo Octoba 25, 2015 Nchini kote. (Picha na OMR)
Afya : Tanzania Yapokea Vifaa vya Maabara vyenye Thamani ya zaidi ya Euro
Milioni 1
-
Umoja wa Ulaya (EU) umekabidhi rasmi vifaa vya kisasa vya maabara kwa
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) katika hafla iliyofanyika katika Makao
Makuu ...
6 minutes ago
No comments:
Post a Comment