Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitimiza wajibu wake wa kupiga kura kwa ajili ya kuchagua Rais, Mbunge, Mwakilishi, na Diwani kwenye kituo cha kupigia kura namba 7 katika Shule ya Sekondari ya Kiembesamaki Zanzibar, kwenye Uchaguzi Mkuu wa Tanzania unaofanyika leo Octoba 25, 2015 Nchini kote. (Picha na OMR)
VODACOM YAENDELEA KUSAMBAZA UPENDO MBARALI MKOANI MBEYA,YAKABIDHI KAPU
KAMPENI YA 'TUPO NAWE TENA NA TENA'
-
Meneja mauzo wa Vodacom Tanzania Plc wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya
Happyness Lyimo ( wa pili kulia) pamoka na afisa wa kampuni hiyo Wema
Mpwanga ( kulia)...
9 hours ago
0 Comments