Waandishi wa habari wa Vyombo mbalimbali vya Ndani na Nje wakiwa katika Ukumbi wa Salama Bwawani wakisubiri kutangazwa kwa Matokeo ya Kura ya Urais wa Zanzibar kwa sasa tayari majimbo manne tayari yameshatangazwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC.
Wanavijiji 6000 waiomba serikali kuingilia kati mradi wa kiwanda kwenye
kingo za Ziwa Natron
-
Na Pamela Mollel,Arusha.
Umoja wa Wanavijiji wapatao 6500, waishio katika kingo za Ziwa Natron,
wilayani Ngorongoro, wametoa tamko la jumla kupinga hatua z...
48 minutes ago
Hizi picha watu wako bwawani ni za Muda mrefu mbona hamtupi update nini kinaendelea
ReplyDelete