Habari za Punde

Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedung Timu ya Muembemakumbi City Imeshinda Bao 2-0- Dhidi ya Timu ya Chipukuzi

Mchezaji wa Timu ya Muembemakumbi City akimpita beki wa Timu ya Chipukizi wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ mchezo uliyofanyika leo 20-10-2025 katika Uwanja wa Mao Zedung.Timu ya Muembemakumbi City imeshinda mchezo huo kwa Bao 2-0.







 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.