MAFUNDI rangi wakiwa katika hatua za mwisho,
kukamilisha kazi ya upakaji wa rangi katika jingo la Mahakama ya Mkoa wa kusini
Pemba, ambayo imefanyiwa Ukarabati mkubwa mahakama hiyo, pichani mafundi
wakimalizia upakaji wa rangi hiyo.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
Wahitimu wa St. Mary’s Watakiwa Kujiamini na Kuthubutu Kufikia Mafanikio”
-
Na Mwandishi Wetu
MTHIBITI Ubora wa Elimu wa Wilaya ya Kinondoni, Paschalina Herman Msofeo
amewataka wahitimu wa Kidato cha Nne wa Shule ya Sekondari...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment