Habari za Punde

Uchaguzi wa Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar

Mwakilishi wa Jimbo la Chakechake Pemba Mhe Suleiman Rarahan Ussi, akiwasuili katika viwanja vya Baraza la Wawakilishi akiongoza na familia yake wakati wa hafla ya kuapishwa leo asubuhi.
Mwakilishi wav Jimbo la Jangombe Mhe Abdalla Maulid Diwani akiwasili katrika viwanja vya Baraza leo asubuhi kuhudhuria hafla ya kuapishwa na kumchagua Spika wa Baraza la Wawakilishi.













Wajumbe Wateule wa Baraza la Wawakilishi wakibadilishana mawazo aliyekaa kutoka kulia Dk Khalid Salum Mohammed Jimbo la Donge, Mhe Abdalla Ali Kombo Jimbo la Mwanakwerekwev na Mhe Hassan Khamis Hafidh wa Jimbo la Welezo, wakiwa katika ukumbi wa Baraza.
Wawakilishi Wateule wakijadiliana wakati wakisubiri kuanza kwa Mkutano wa Kwanza wa Baraza la Tisa kulia Mhe Zaina Abdalla Salum (Viti vya Wanawake) na Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni Mhe Rashid Makame Shamsi.
Wajumbe Wateule wa Baraza la Wawakilishi wakiwa katika Ukumbi wa Mkutano wakibadilishana mawazo kabla ya kuaza kwa mkutano huo uliotanguliwa na Uchaguzi wa Spika wa Baraza. aliyesimama Mwakilishi wa Jimbo la Mpendae Mhe Mohammed Dimwa waliokaa Mhe Amina Iddi Mabrouk (Viti Maalum) Mwakilishi wa Chaani Mhe Nadir Abdul-latif Yussuf na Mwakilishi wa Jangombe Mhe Abdalla Maulid Diwani. 

Katibu wa Baraza la Wawakilishi Dk Yahya Khamis Hamad akiingia ukumbi wa Mkutano kwa ajili ya kuanza Mkutano wa Kwanza wa Baraza la Tisa kwa kumchagua Spika na kuapishwa Wajumbe Wteule leo asubuhi.

Wajumbe wa Wateule wa Baraza la Wawakilishi wakiwa wamesimama wakati akiingia Katibu wa Baraza kuaza kwa Kikao cha kumchagua Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar. 
Wajumbe wa Wateule wa Baraza la Wawakilishi wakiwa wamesimama wakati akiingia Katibu wa Baraza kuaza kwa Kikao cha kumchagua Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar. 
Wajumbe wa Wateule wa Baraza la Wawakilishi wakiwa wamesimama wakati akiingia Katibu wa Baraza kuaza kwa Kikao cha kumchagua Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar. 
Katibu wa Baraza laWawakilishi Zanzibarv Dk Yahya Khamis Hamad akisoma Dua kabla ya kuaza kwa Kikao cha Baraza kumchagua Spika wa Baraza la Wawakilishi uchaguzi uliofanyika leo asubuhi.
Wajumbe Wateule wa Baraza la Wawakilishi wakisimama wakati wa Dua kabla ya kuaza shughuli za Baraza Kumchagua Spika leo asubuhi.
Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Dk Yahya Khamis Hamad akimtambulisha Mgombea Uspika wa Baraza la Wawakilishi Mhe Zuberi Ali Maulidi kwa Wajumbe Wateule wa Baraza wakati wa uchaguzi huo uliofanyika leo asubuhi.katika Ukumbi wa Mikutano wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Zanzibar.  
Mgombea nafasi ya Upika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zuberi Ali Maulid akiomba kura kwa Wajumbe Wateule wa Baraza la Wawakilishi leo asubuhi wakati wa uchaguzi wa kumchagua Spika.  
Afisa wa Baraza la Wawakilishi akigawa kura za kumchagua Spika kwa Wajumbe Wateule wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.
Wajumbe Wateule wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakipiga Kura kumchagua Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar iliyogombewa na Mhe Zuberi Ali Maulid, na kuibuka mshindi katika uchaguzi huo. 
Wajumbe Wateule wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakipiga Kura kumchagua Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar iliyogombewa na Mhe Zuberi Ali Maulid, na kuibuka mshindi katika uchaguzi huo. 
Maofisa wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakitoka katika Ukumbi wa Mkutano na masanduku ya Kutra za Spika baada ya kufanyika kwa Uchaguzi huo wa kumchagua Spika wa Baraza alijitokeza Mgombea mmoja kwa tiketi ya CCM Mhe Zuberi Ali Maulid.  
 Katibu wa Baraza la Wawakilishi Dk Yahya Khamis Hamad akitoka katika Ukumbi wac Mkutano baada ya kuahirisha kwa ajili ya kuhesabiwac Kura za Spika wa Baraza la Wawakilishi baada ya kupigiwa Kura na Wajumbe Wateule. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.