VIJANA waliokuwa wakiendesha vespa ambayo
haina namba za usajili, wakikimbia muda mfupi baada ya kumgonga mwenye baiskeli,
eneo la Miembeni Chakechake Pemba, kama walivyokutwa na mpiga picha wetu Haji Nassor, Pemba wa Pemba.
NGORONGORO YAPANDA MITI AINA YA OLORIEN, MITI MAARUFU WAKATI WA TOHARA KWA
VIJANA WA KIMASAI.
-
Na Mwandishi Wetu, Ngorongoro.
Tofauti na vijana wa mjini hasa wa Dar es Salaam ambao wengi wao hutahiriwa
wakiwa wadogo hospitalini tena kwa ganzi, toha...
1 hour ago
0 Comments