VIJANA waliokuwa wakiendesha vespa ambayo
haina namba za usajili, wakikimbia muda mfupi baada ya kumgonga mwenye baiskeli,
eneo la Miembeni Chakechake Pemba, kama walivyokutwa na mpiga picha wetu Haji Nassor, Pemba wa Pemba.
TANZANIA NA ZAMBIA ZAKUBALIANA KUENDELEA KUTATUA CHANGAMOTO ZA BIASHARA
-
Serikali za Tanzania na Zambia zimefanikiwa kufuta kero nne kati ya kero 15
zilizokuwepo awali ili kurahisisha michakato ya biashara ya nchi hizo
kutegemea...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment