VIJANA waliokuwa wakiendesha vespa ambayo
haina namba za usajili, wakikimbia muda mfupi baada ya kumgonga mwenye baiskeli,
eneo la Miembeni Chakechake Pemba, kama walivyokutwa na mpiga picha wetu Haji Nassor, Pemba wa Pemba.
TANAPA YATUNUKIWA TUZO YA JUU ULAYA KWA MARA YA SITA MFULULIZO
-
Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) limetunukiwa tuzo ya hadhi ya juu kwa
mara ya sita mfululizo iitwayo European Quality Choice Diamond ya mwaka
2025 k...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment