JENGO jipya la Hospitali ya Abdalla Mzee
Mkoani Pemba, ambalo tayari imeshafikia hatua za mwisho na wakati wowote
wajenzi kutoka kampuni ya Jiangsu Provincial Construction Company LTD
ya nchini China watalikabidhi kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WAZIRI wa Fedha na Mipango Zanzibar Mhe: Khalid Salum
Mohamed, akipokea maelezo kutoka kwa Afisa Uendeshaji Tiba Pemba dk: Ali
Mbarawa (mwenye shati la vyumba), wakati Waziri huyo alipoitembelea Hospitali ya
Abdalla Mzee Mkoani, (Picha na Haji
Nassor, Pemba).
WAZIRI wa Fedha na Mipango Zanzibar Mhe:
Khalid Salum Mohamed (mwenye suti nyeusi), akiwa na uongozi wa wizara ya Afya,
wakati akikagua ujenzi wa hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani kisiwani Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MASHINE ya CITI ‘scanner’ ambayo ipo kwenye
hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani, ambayo kabla ya hospitali hiyo, kujengwa upya
haikuwepo hospitalini hapo (Picha na Haji Nassor, Pemba)
VITANDA maalumu kwa ajili ya wagonjwa
wanaohitajia uangalizi maalum ICU, vilivyomo hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani
Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
PICHA ya pamoja baina ya uongozi wa wizara
ya Afya na Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Mhe: Khalid Salum Mohamed mwenye
suti nyeusi, mara baada ya kuikagua hospitali mpya Abdalla Mzee Mkoani Pemba, (Picha na Haji Nasor, Pemba).
No comments:
Post a Comment