Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja, ndugu Idrissa Kitwana Mustafa awasili leo Sweden akifuatana na ujumbe wa watu kumi kutoka Makunduchi. Kwenye uwanja wa ndege wa Arlanda Sweden Mkuu huyo alifanya mazungumzo na mwenyeji wake beans Bojorn Sweden juu ya kuimarisha uhusiano uliokuwepo Kati ya Wadi ya Makunduchi na Manispaliti ya Sindsvall.
JAFO ALITAKA TENA JIMBO LA KISARAWE,AREJESHA FOMU
-
*WAZIRI wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo,amerejesha fomu ya
kuomba ridhaa ya kutetea tena Ubunge katika Jimbo la Kisarawe*
*Dkt.Jafo amer...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment