Habari za Punde

Kilimo cha alizeti kinavyozidi kushamiri kisiwani Pemba

 ZAO la alizeti linalolimwa na wakikundi cha ushirika cha Wawi Chakechake Pemba, ‘MEO’ likiwa limenawiri, huku wanaushirika hao wakililia soka la uhakika, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 WANAKIKUNDI cha ushirika cha kilimo na upandaji miti cha Wawi wilaya ya chakechake Pemba, ‘MEO’ wakilifanyia usafi shamba lao la zao la halizeti lililopo mabonde ya Wawi, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WANAKIKUNDI cha ushirika cha kilimo na upandaji miti cha Wawi wilaya ya Chakechake Pemba, wakionyesha zao la alizeti ambalo limeshakuwa tayari kuvunwa, ingawa wanahofu kubwa ya soko la uhakika, (Picha na Haji Nassor, Pemba).     

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.