Habari za Punde

Ligi Kuu kanda ya Pemba: Danger Boys na Dogomoro hakuna mbabe

 KIKOSI cha timu ya Danger boys inayoshiriki ligi kuu ya Zanzibar kanda ya Pemba, kikipasha pasha, kabla ya kuivaa timu ya Dogo moro, kwenye dimba ya Gombani, ambapo mchezo huo ulimalizika kwa kutofungana, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MCHEZAJI wa timu ya Danger boys Omar Abdalla, (mwenye jezi nyekundu), akimziba kitaalamu mchezaji wa timu ya Dogo moro, Saleh Othman kwenye mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar, uliopigwa uwanja wa Gombani, ambapo wanaume hao walishindwa kufungana bao lolote, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MCHEZAJI wa timu ya Danger boys akipiga kichwa kuokoa moja ya hatari zilizoelekezwa langni kwake na timu ya Dogomoro. Mchezo ulimalizika bila ya kufungana. (Picha na Haji Nassor, Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.