Habari za Punde

Mke wa Rais Zanzibar Mama Mwanamwema Shein Azungumza na Wawakilishi wa Majimbo ya Unguja.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar na Mwakilishi wa Jimbo la Mahonda Unguja Balozi Seif Ali Iddi, akiwasili katika viwanja vya Ukumbi wa Mkutano Nyumba za Wazee Sebleni kuhudhuria Mkutano wa Wawakilishi wa CCM Unguja.    
Mke wa Rais wa Zanzibar na Mlezi wa Umoja wa Wake wa Wawakilishi na Wabunge wa CCM Mama Mwanamwema Shein, akisalimiana na Wawakilishi Wanawake alipowasili katika.

















No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.